sw_tn/1ch/01/01.md

370 B

Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi

Tafsiri zingine, pamoja na ULB na UDB, za usisha "Wana wana" ili kuweka wazi kuwa Shemu, Hamu, na Yafethi walikuwa ni ndugu na wana wa Nuhu. Lasihivyo, msomaji ata dhani kila mtu aliwakilisha kizazi kimoja mbali na Nuhu, babu yao.

Enoshi, Kenani, Mahalaleli, Yaredi ... Methusela

Haya majina ni orodha ya mababu.