forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
458 B
Markdown
12 lines
458 B
Markdown
# watageuka
|
|
|
|
"watakimbia" au "watageuka na kukimbia"
|
|
|
|
# Mungu yu upande wangu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa Mungu anamwonesha fadhila. Katika hali hii inadokezwa kuwa Mungu anapambana dhidi ya adui wa mwandishi wa zaburi ili kumlinda. "Mungu ananipigania"
|
|
|
|
# Yeyote anaweza kunifanya nini?
|
|
|
|
Swali linatumika hapa kuonesha kuwa mwandishi wa zaburi haogopi watu, kwa sababu hawawezi kumuumiza sana. "Watu hawawezi kunifanya kitu!" au "Watu hawawezi kuniumiza vibaya!"
|