forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
577 B
Markdown
12 lines
577 B
Markdown
# Umba ndani yangu moyo msafi
|
|
|
|
Hapa "moyo" unawakilisha hisia na hamu. Kujitoa kamili na kuwa mtiifu kwa Mungu inazungumziwa kama na kuwa na moyomsafi. "Unifanye nijitoe kamili kwako" au "Nifanye nitake kukutii wewe daima"
|
|
|
|
# fanya upya roho safi ndani yangu
|
|
|
|
Hapa "roho" inawakilisha mtazamo na hamu za Daudi. "fanya mtazamo wangu kuwa sawa" au "nifanye nitake daima kufanya kilicho sawa"
|
|
|
|
# Usiniondoe mbali na uwepo wako
|
|
|
|
"Usinilazimishe kwenda mbali na wewe." Kukataliwa na Mungu kunazungumziwa kama kulazimishwa kwendambali naye. "Usinikatae mimi kama mmoja wa watu wako"
|