sw_tn/psa/051/010.md

577 B

Umba ndani yangu moyo msafi

Hapa "moyo" unawakilisha hisia na hamu. Kujitoa kamili na kuwa mtiifu kwa Mungu inazungumziwa kama na kuwa na moyomsafi. "Unifanye nijitoe kamili kwako" au "Nifanye nitake kukutii wewe daima"

fanya upya roho safi ndani yangu

Hapa "roho" inawakilisha mtazamo na hamu za Daudi. "fanya mtazamo wangu kuwa sawa" au "nifanye nitake daima kufanya kilicho sawa"

Usiniondoe mbali na uwepo wako

"Usinilazimishe kwenda mbali na wewe." Kukataliwa na Mungu kunazungumziwa kama kulazimishwa kwendambali naye. "Usinikatae mimi kama mmoja wa watu wako"