sw_tn/psa/050/012.md

311 B

Kama nina njaa

Hii inaelezea kitu ambacho hakiwezi kutokea, kwa kuwa Mungu huwa hapati njaa.

Je! Nitakula nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi?

Mungu anauliza swali hili balagha kusisitiza kuwa huwa hafanyi hivi vitu na kwa hiyo haitaji sadaka zao. "Sili nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi."