forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
311 B
Markdown
8 lines
311 B
Markdown
|
# Kama nina njaa
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea kitu ambacho hakiwezi kutokea, kwa kuwa Mungu huwa hapati njaa.
|
||
|
|
||
|
# Je! Nitakula nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi?
|
||
|
|
||
|
Mungu anauliza swali hili balagha kusisitiza kuwa huwa hafanyi hivi vitu na kwa hiyo haitaji sadaka zao. "Sili nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi."
|