forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.2 KiB
Markdown
40 lines
1.2 KiB
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Huu ni wimbo kuhusu Yerusalemu kuwa sehemu ya kuishi ya Mungu.
|
|
|
|
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
|
|
|
# zaburi ya wana Kora
|
|
|
|
"hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika"
|
|
|
|
# mwenye kusifiwa sana
|
|
|
|
"watu wanapaswa kumsifu sana"
|
|
|
|
# mji wa Mungu wetu katika mlima wake mtakatifu
|
|
|
|
Hii inamaanisha Yerusalemu, iliyojengwa katika mlima Sayuni.
|
|
|
|
# mji wa Mungu wetu
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) "mji ambao Mungu wetu huishi" au 2) "mji ulio wa Mungu wetu"
|
|
|
|
# Mzuri katika kuinuka
|
|
|
|
"Mzuri na juu." Neno "kuinuka" linamaanisha jinsi mlima Sayuni ulivyo juu.
|
|
|
|
# furaha ya dunia yote, ni mlima Sayuni
|
|
|
|
Hapa neno "dunia" linamaanisha kila mtu anayeishi duniani. "Mlima Sayuni huwapa watu wote duniani furaha" au "watu wote wanafurahi kwa sababu ya mlima Sayuni"
|
|
|
|
# katika pande za kaskazini
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni kwamba msemo huu 1) unamaanisha mwelekeo wa kaskazini au 2) ni jina jingine la mlima sayuni linalomaanisha "mlima wa Mungu."
|
|
|
|
# Mungu amejifanya kujulikana katika majumba yake kama sehemu ya kukimbilia
|
|
|
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni sehemu ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya usalama. "Mungu amejifanya kujulikana kama yule anayetoa usalama kwa watu katika majumba ya mlima Sayuni"
|