forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
518 B
Markdown
16 lines
518 B
Markdown
# kula mkate na kuywa kikombe cha Bwana
|
|
|
|
" kula mkate wa Bwana au kunywa kikombe cha Bwana"
|
|
|
|
# chunguza
|
|
|
|
Paulo aneleza uhusiano wa mtu na Mungu, jinsi mtu anavyoishi katika maisha yake kwamba anatakiwa ayaangalie maisha yake na kuyatathmini kama mtu ayetaza kitu anapotaka kukinunua.
|
|
|
|
# bila kuupambanua mwili
|
|
|
|
Inaweza kumaanisha1) "na hatambui kuwa kanisa ni mwili wa Bwana" au 2) "na hafikiri kuwa anashiriki mwili wa Bwana."
|
|
|
|
# wagonjwa na dhaifu
|
|
|
|
Maneno haya yanamaana zizokaribiana: kuwa nyonge, kuwa na madhara
|