forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
494 B
Markdown
21 lines
494 B
Markdown
# Kama jambo haliwezekani katika mcho ya
|
|
|
|
"Ikiwa jambo fulani halionekani kuwezekana"
|
|
|
|
# masalia ya watu hawa
|
|
|
|
"watu wa Yuda waliosalia"
|
|
|
|
# Je! lisiwezekane pia machoni pangu?
|
|
|
|
Mungu anauliza swali hili ili kuwashawishi watu wake kuamini ahadi zake.
|
|
|
|
# Hili ni tamko la Yahwe
|
|
|
|
Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|
|
|
|
# Ninaelekea kuwakomboa watu wangu
|
|
|
|
"Niko karibu kuwakomboa watu wangu walikwenda uamishoni"
|
|
|