1.1 KiB
Maelezo ya Jumla
Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Nne ya kitabu
Maelezo ya Jumla
Mwanamke anatumia tafsida kueleza ndoto yake ili kwamba iweze kutafsiriwa kwa njia mbili tofauti: 1) mwanamke anaeleza ndoto kuhusu usiku mpenzi wake alipo kuja kumtembelea nyumbani mwake; na 2) mwanamke anaeleza ndoto kuhusu kuanza kulala na mpenzi wake.
lakini moyo wangu ulikuwa umeamka
"lakini moyo wangu ulikuwa umeamka"
Nifungulie
Hii ya husu kufungua mlango lakini yaweza tafsiriwa kama ombi la kimapenzi. "Fungua mlango kwa ajili yangu" au "Jifungue kwangu"
dada yangu
Maneno ya mahaba. Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:9
mpenzi wangu
Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:9
hua wangu
Ona Jinsi ulivyo tafsiri 2:14
usiye na doa
"mkamilifu wangu" au "mwaminifu wangu" au "usiye na hatia wangu"
unyevu
matone ya maji au ukungu unaoa kuwa wakati wa baridi ya usiku hali ya hewa inaposhuka
nywele zangu na unyevu wa usiku
hewa nyevu ya usiku ya fanya nywele za mwanamme kulowa kwasababu kasimama nje.
kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku
Hii mistari miwili ina maanisha kitu kimoja.