forked from WA-Catalog/sw_tn
444 B
444 B
Kwa kuwa maandiko husema
Hapa andiko limefanyika nafsi hai kama Mungu anazungumza na Farao. "Maandiko hutunza kumbukumbu kwa Mungu kusema"
Mimi...changu
Mungu anarejesha kwake mwenyewe.
wewe
umoja
na ili kwamba jina langu litangazwe katika inchi yote.
"na kwamba watu waweze kulitangaza jina langu katika inchi yote"
na yeye ambaye apendaye, humfanya kuwa mgumu wa moyo.
Mungu humfanya mgumu wa moyo yule apandaye kumfanya.