forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
396 B
Markdown
17 lines
396 B
Markdown
# Hakuna mtu ambaye anaelewa
|
|
|
|
"Hakuna mtu kweli anatambua ukweli wa Mungu"
|
|
|
|
# Hakuna mtu ambaye anamtafuta Mungu
|
|
|
|
'Hakuna mtu wa dhati anaejaribu kuwa na uhusiano mwema na Mungu'
|
|
|
|
# akageuka mbali
|
|
|
|
Hapa hii ina maana kuacha kufanya kitu fulani. AT "kukataliwa Mungu na mapenzi ya haki yake kwa ajili yao"
|
|
|
|
# kuwa haina maana
|
|
|
|
"zimeharibika mbali kama mapenzi ya Mungu kwa ajili yao ni wasiwasi"
|
|
|