forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
618 B
Markdown
17 lines
618 B
Markdown
# Nilisikia sauti kubwa kutoka kwenye kiti cha enzi ikisema
|
|
|
|
Neno "sauti" inamaanisha yule anayezungumza. "mtu akinena kwa sauti kutoka katika kiti cha enzi akisema"
|
|
|
|
# Tazama!
|
|
|
|
Nenno "Tazama" inatuweka macho kuwa makini na taarifa za kushangaza zifuatazo.
|
|
|
|
# Makao ya Mungu yapo pamoja na wanadamu, naye ataishi pamoja nao
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza kuwa, hakika, Mungu ataishi miongoni mwa watu.
|
|
|
|
# Atafuta kila chozi kutoka katika macho yao
|
|
|
|
Machozi hapa yanawakilisha huzuni. "Mungu atafuta huzuni yao kama vile anafuta machozi yao" au "Mungu atawasababisha wasiwe na huzuni tena"
|
|
|