sw_tn/rev/13/03.md

826 B

Lakini jeraha lake likapona

"Lakini hilo jeraha lilipona"

jeraha la kusababisha mauti

"jeraha baya." Hili ni jeraha kubwa linaloweza kusababisha mtu kufa.

dunia yote

Neno "dunia" inamaanisha watu waliomo ndani yake. "watu wote duniani"

ikamfuata mnyama

"ikamtii mnyama"

joka

Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani"

alimpa mamlaka yule mnyama

"alimfanya mnyama kuwa na mamlaka kama aliyokuwa nayo yeye"

Nani kama mnyama?

Hili swali linaonesha ni jinsi gani walivyostaajabishwa na mnyama. "Hakuna aliye na nguvu kama mnyama!"

Nani atapigana naye?

Hiil swali linaonesha kiasi gani watu walihofia nguvu ya mnyama. "Hakuna mtu atakayeweza kupigana na mnyama na kushinda!"