forked from WA-Catalog/sw_tn
824 B
824 B
Kauli Unganishi:
Malaika wa sita kati ya saba kupuliza tarumbeta.
nikasikia sauti ikitoka
Sauti inamaanisha yule aliyekuwa anazungumza. Yohana hasemi msemaji ni nani, lakini inawezekana ikawa ni Mungu. "Nilisikia mtu akizungumza"
pembe ya madhabahu ya dhahabu
Hizi ni zile zehemu zinazoendeleza kona nne za juu ya madhabahu zinazofanana na pembe.
Sauti ilimwambia
Sauti inamaanisha msemaji. "Msemaji akamwambia"
Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa ... mwaka huo, waliachiwa
"Malaika akawaachia wale malaika wanne waliokuwa wameaandaliwa kwa ... mwaka huo"
Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa
"Malaika wanne ambao Mungu aliwaanda"
kwa saa hiyo, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo
Haya maneno yanatumika kuonesha kuwa kuna muda bayana na siyo muda wowote tu. "kwa muda huo bayana"