forked from WA-Catalog/sw_tn
390 B
390 B
Yahwe huwainua waliokandamizwa
Mwandishi anazungumzia yahwe kuwapa heshima wale walio kandamizwa kana kwamba Yahwe alikuwa akiwainua kutoka ardhini. "Yahwe huwapa heshima walio kandamizwa"
huwaleta waovu chini ardhini
Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwaaibisha waovu kana kwamba Yahwe alikuwa akiwalazimisha kulala ardhini. "huwaaibisha waovu"
kwa kinubi
"huku wakicheza kinubi"