forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
559 B
Markdown
21 lines
559 B
Markdown
# Maisha yangu daima yako mkononi mwangu
|
|
|
|
Hii ni lahaja inayomaanisha maisha ya mwandishi yako hatarini wakati wote. "Adui zangu huwa wanajaribu kuniua"
|
|
|
|
# Sisahau sheria yako
|
|
|
|
"Daima huwa nakumbuka sheria zako"
|
|
|
|
# Waovu wameweka mtego mbele yangu
|
|
|
|
Watu waovu kujaribu kumshika na kumuua mwandishi inazungumziwa kana kwamba ni wawindaji wanaanda mtego kumshika mnyama.
|
|
|
|
# Waovu
|
|
|
|
"Watu waovu"
|
|
|
|
# Sijapotea kutoka kwenye maagizo yako
|
|
|
|
Kutokaidi maagizo ya Mungu inazungumziwa kana kwamba mwandishi hajatembea mbali na maagizo ya Mungu. "Ninatii maagizo yako"
|
|
|