forked from WA-Catalog/sw_tn
559 B
559 B
Maisha yangu daima yako mkononi mwangu
Hii ni lahaja inayomaanisha maisha ya mwandishi yako hatarini wakati wote. "Adui zangu huwa wanajaribu kuniua"
Sisahau sheria yako
"Daima huwa nakumbuka sheria zako"
Waovu wameweka mtego mbele yangu
Watu waovu kujaribu kumshika na kumuua mwandishi inazungumziwa kana kwamba ni wawindaji wanaanda mtego kumshika mnyama.
Waovu
"Watu waovu"
Sijapotea kutoka kwenye maagizo yako
Kutokaidi maagizo ya Mungu inazungumziwa kana kwamba mwandishi hajatembea mbali na maagizo ya Mungu. "Ninatii maagizo yako"