sw_tn/psa/105/020.md

328 B

Mfalme alituma watumishi kumweka huru; mtawala wa watu akamweka huru

Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo ya kwamba mfalme alimweka huru.

Kisha Israeli akaja mpaka Misri

Hapa "Israeli" ina maana ya Yakobo. Yakobo alileta familia yake pamoja naye. "Kisha Israeli na familia yake kuja Misri"