forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
441 B
Markdown
21 lines
441 B
Markdown
# Kauli Kiunganishi
|
|
|
|
Mtunga zaburi anaandika kuhusu Israeli.
|
|
|
|
# walipokuwa wachache tu kwa idadi
|
|
|
|
Neno "walipokuwa" ina maana ya Waisraeli.
|
|
|
|
# na wageni katika nchi
|
|
|
|
Inadokezwa ya kwamba "nchi" ina maana ya Kaanani. "na walikuwa wageni katika nchi ya Kaanani"
|
|
|
|
# Waliondoka kutoka
|
|
|
|
"Waliendelea kutangatanga"
|
|
|
|
# kutoka taifa kwa taifa na kutoka ufalme mmoja kwa mwingine
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo.
|
|
|