sw_tn/psa/105/012.md

441 B

Kauli Kiunganishi

Mtunga zaburi anaandika kuhusu Israeli.

walipokuwa wachache tu kwa idadi

Neno "walipokuwa" ina maana ya Waisraeli.

na wageni katika nchi

Inadokezwa ya kwamba "nchi" ina maana ya Kaanani. "na walikuwa wageni katika nchi ya Kaanani"

Waliondoka kutoka

"Waliendelea kutangatanga"

kutoka taifa kwa taifa na kutoka ufalme mmoja kwa mwingine

Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo.