forked from WA-Catalog/sw_tn
441 B
441 B
Kauli Kiunganishi
Mtunga zaburi anaandika kuhusu Israeli.
walipokuwa wachache tu kwa idadi
Neno "walipokuwa" ina maana ya Waisraeli.
na wageni katika nchi
Inadokezwa ya kwamba "nchi" ina maana ya Kaanani. "na walikuwa wageni katika nchi ya Kaanani"
Waliondoka kutoka
"Waliendelea kutangatanga"
kutoka taifa kwa taifa na kutoka ufalme mmoja kwa mwingine
Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo.