forked from WA-Catalog/sw_tn
458 B
458 B
moyo wangu ulihuzunika
neno "moyo" ni njia nyingine ya kusema mawazo na hisia za mtu. "nilikuwa na huzuni sana"
niliumia sana
Mwandishi wa zaburi anazungumzia maumivu ya hisia kana kwamba ni maumivu ya mwili. "nilihisi kama mtu ameniumiza kwa kisu au mshale."
mjinga na kukosa utambuzi
Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza kiasi gani hakujua. "mjinga sana"
kukosa utambuzi
"kutukuelewa kitu"
yako
Hapa anayemaanishwa ni Mungu.