sw_tn/psa/073/021.md

458 B

moyo wangu ulihuzunika

neno "moyo" ni njia nyingine ya kusema mawazo na hisia za mtu. "nilikuwa na huzuni sana"

niliumia sana

Mwandishi wa zaburi anazungumzia maumivu ya hisia kana kwamba ni maumivu ya mwili. "nilihisi kama mtu ameniumiza kwa kisu au mshale."

mjinga na kukosa utambuzi

Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza kiasi gani hakujua. "mjinga sana"

kukosa utambuzi

"kutukuelewa kitu"

yako

Hapa anayemaanishwa ni Mungu.