sw_tn/psa/061/008.md

9 lines
187 B
Markdown

# Nitaimba sifa kwa jina lako milele
Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Nitaimba sifa kwako milele"
# nadhiri zangu
Hii zinamaanisha ahadi ya kutoa sadaka kwa Mungu kila siku.