forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
458 B
Markdown
17 lines
458 B
Markdown
# tuma nuru yako na ukweli wako
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia ukombozi wa Mungu kana kwamba ni nuru inayo mwonyesha njia na ukweli unaomfundisha jinsi ya kuishi. "niongoze kwa nuru yako na kweli"
|
|
|
|
# mlima ... mtakatifu
|
|
|
|
Hii inamaanisha mlima ulioko Yerusalemu ambapo hekalu lipo kwa hiyo ni hekalu lenyewe.
|
|
|
|
# kwenye makazi yako
|
|
|
|
"mahali ambapo unaishi"
|
|
|
|
# Mungu furaha yangu inayozidi
|
|
|
|
"Mungu ambaye ni furaha yangu kubwa sana" au "Mungu anayenipa furaha kubwa"
|
|
|