forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
332 B
Markdown
13 lines
332 B
Markdown
# utajibu
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) "utanijibu" au 2) "utawajibu adui zangu."
|
|
|
|
# wasinicheke
|
|
|
|
"hawatafurahi juu ya shida yangu"
|
|
|
|
# Kama mguu wangu ukiteleza
|
|
|
|
Hapa "mguu" unmwakilisha mwandishi. Kuteleza kwa mguu wake ni sitiari inayomaanisha matatizo ya mwandishi na bahati mbaya. "Kama nikifanya makosa ya kunisababishia taabu"
|
|
|