forked from WA-Catalog/sw_tn
332 B
332 B
utajibu
Maana zinazowezekana ni 1) "utanijibu" au 2) "utawajibu adui zangu."
wasinicheke
"hawatafurahi juu ya shida yangu"
Kama mguu wangu ukiteleza
Hapa "mguu" unmwakilisha mwandishi. Kuteleza kwa mguu wake ni sitiari inayomaanisha matatizo ya mwandishi na bahati mbaya. "Kama nikifanya makosa ya kunisababishia taabu"