forked from WA-Catalog/sw_tn
359 B
359 B
Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Yahwe
"Yahwe huokoa watu wenye haki"
wenye haki
"watu wenye haki"
huwasaidia ... huwaokoa ... huwaokoa
Wazo hilo hilo linarudiwa kwa njia tofauti kusisitiza kuwa Yahwe ni wa kutegemewa na anaweza kutoa msaada.
wamemkimbilia
Kwenda kwa Yahwe kunazungumziwa kama kumkimbilia. "wameenda kwake kwa ajili ya ulinzi"