forked from WA-Catalog/sw_tn
603 B
603 B
sehemu za nyuma za shingo za adui zangu
Hii inaashiria ushindi juuya maadui wa mtu. "ushindi juu ya adui zangu"
Nimewaangamiza wale wanaonichukia
"Niliwashinda wale walionichukia" au "Niliwaangamiza kabisa wale walionichukia"
lakini hakuwajibu
Hii inamaanisha Yahwe hakutoa msaada wowote. "lakini hakuwasaidia"
Niliwapiga hadi vipande kama vumbi mbele ya upepo
Adui wa mwandishi wa zaburi wanalinganishwa na vumbi kuonesha jinsi alivyowashinda.
Nikawarusha nje kama tope katika mitaa
Adui wa mwandishi wa zaburi wanalinganishwa na tope la kwenye mitaa kuonesha jinsi alivyowashinda.