sw_tn/psa/014/004.md

466 B

Kwani hawajui chochote ... ambao hawamwiti Yahwe?

Swali hili la balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Wanatenda kana kwamba hawajui chochote ... wasiomwita Yahwe. Lakini wanajua wanachokifanya!"

wale wanaotenda udhalimu

Hapa "udhalimu" unamaanisha matendo maovu. "wale wwnye tabia mbovu.

wale wanaowala watu wangu

Hii inamaanisha wale wanaofanya vitu viovu na wanawaangamiza watu wa Mungu kana kwamba wanakula chakula.