forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
466 B
Markdown
13 lines
466 B
Markdown
|
# Kwani hawajui chochote ... ambao hawamwiti Yahwe?
|
||
|
|
||
|
Swali hili la balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Wanatenda kana kwamba hawajui chochote ... wasiomwita Yahwe. Lakini wanajua wanachokifanya!"
|
||
|
|
||
|
# wale wanaotenda udhalimu
|
||
|
|
||
|
Hapa "udhalimu" unamaanisha matendo maovu. "wale wwnye tabia mbovu.
|
||
|
|
||
|
# wale wanaowala watu wangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wale wanaofanya vitu viovu na wanawaangamiza watu wa Mungu kana kwamba wanakula chakula.
|
||
|
|