forked from WA-Catalog/sw_tn
1.0 KiB
1.0 KiB
Mruba anao binti wawili
Huu ni mfano wa kuonesha uroho, kutaka vitu zadi kila mara "Uroho anao binti wawili"
mruba
ni aina ya mnyoo amba huganda kwenye ngozi na kunyonya damu
Wanalia "Nipe na nipe "
" kwa pamoja wote wanaitwa nipe mimi"
kuna vitu vitatu ambavyo havitosheki, vinne ambavyo havisemi "Yatosha"
"Kuna vitu vinne ambavyo havitosheki, ambavyo havisemi, "Yatosha"
ambavyo havitosheki
"daima vinataka zaidi"
ardhi ambayo haitosheki kwa maji
ardhi ambayo haizalishi tena chakula kwa sababu hakuna mvua imeongelewa kana kwamba mtu ambaye hana maji ya kutosha kwa kunywa
beza utiifu kwa mama
"humfikiria mama yake kuwa hana maana na hawezi hata kumtii"
macho yake ...tai
Mwandishi anatoa taswira mbili kwa namna inavyotokea kwa watu wanaofariki wakiwa mbali na makazi ya watu
macho yake yatadonolewa na kunguru wa bondeni
" kunguru wa bondeni watayadonoa macho yake"
kunguru
ndege weusi ambao hula mimea na mizoga ya wanyama
ataliwa na tai
"tai watamla"
tai
moja ya ndege wakubwa ambao hula mizoga ya wanyama