forked from WA-Catalog/sw_tn
49 lines
1.0 KiB
Markdown
49 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Mruba anao binti wawili
|
||
|
|
||
|
Huu ni mfano wa kuonesha uroho, kutaka vitu zadi kila mara "Uroho anao binti wawili"
|
||
|
|
||
|
# mruba
|
||
|
|
||
|
ni aina ya mnyoo amba huganda kwenye ngozi na kunyonya damu
|
||
|
|
||
|
# Wanalia "Nipe na nipe "
|
||
|
|
||
|
" kwa pamoja wote wanaitwa nipe mimi"
|
||
|
|
||
|
# kuna vitu vitatu ambavyo havitosheki, vinne ambavyo havisemi "Yatosha"
|
||
|
|
||
|
"Kuna vitu vinne ambavyo havitosheki, ambavyo havisemi, "Yatosha"
|
||
|
|
||
|
# ambavyo havitosheki
|
||
|
|
||
|
"daima vinataka zaidi"
|
||
|
|
||
|
# ardhi ambayo haitosheki kwa maji
|
||
|
|
||
|
ardhi ambayo haizalishi tena chakula kwa sababu hakuna mvua imeongelewa kana kwamba mtu ambaye hana maji ya kutosha kwa kunywa
|
||
|
|
||
|
# beza utiifu kwa mama
|
||
|
|
||
|
"humfikiria mama yake kuwa hana maana na hawezi hata kumtii"
|
||
|
|
||
|
# macho yake ...tai
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatoa taswira mbili kwa namna inavyotokea kwa watu wanaofariki wakiwa mbali na makazi ya watu
|
||
|
|
||
|
# macho yake yatadonolewa na kunguru wa bondeni
|
||
|
|
||
|
" kunguru wa bondeni watayadonoa macho yake"
|
||
|
|
||
|
# kunguru
|
||
|
|
||
|
ndege weusi ambao hula mimea na mizoga ya wanyama
|
||
|
|
||
|
# ataliwa na tai
|
||
|
|
||
|
"tai watamla"
|
||
|
|
||
|
# tai
|
||
|
|
||
|
moja ya ndege wakubwa ambao hula mizoga ya wanyama
|
||
|
|