macho ya Yahwe yapo kila mahali
"Yahwe huona kila kitu"
mema na maovu
"watu wema na watu waovu"
ulimi uponyao ni mti wa uzima
" maneno ya upole ni kama mti ambao hutoa uzima"
ulimi wenye kudanganya huvunja moyo
"kauli ya uongo husababisha mtu kuvunjika moyo"