forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
363 B
Markdown
17 lines
363 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Hii ni orodha ya ukoo wa Lawi. Musa aliwahesabu Walwi kwa namna tofauti na makabila mengine kwa sababu hawakupokea ardhi yeyote.
|
|
|
|
# Zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo
|
|
|
|
"ambao viongozi waliwahesabu kwa kufuata ukoo"
|
|
|
|
# Gerishoni ... Kohathi ... Merari ... Amramu
|
|
|
|
Tazama 3:17
|
|
|
|
# Alimzalia Amramu watoto wao
|
|
|
|
"Yeye na Amramu walikuwa na watoto"
|
|
|