|
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Nehemia anaelezea idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. Watu walikusanywa na familia kulingana na jina la baba zao. Nambari inawakilisha idadi ya wanaume katika kila familia.
|
|
|
|
# Paroshi...Shefatia... Ara
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|