forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
913 B
Markdown
41 lines
913 B
Markdown
# Palali...Uzai.....Pedaya.....Paroshi
|
|
|
|
Haya ni majina ya watu
|
|
|
|
# Uzai akajenga....Paroshi akajenga... watumwa wakajenga...wakajenga sehemu nyingine
|
|
|
|
Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "Uzai alijengaa ukuta ... Paroshi alijenga ukuta ... watumishi walijenga ukuta ... walijenga sehemu nyingine ya ukuta"
|
|
|
|
# Baada yake
|
|
|
|
"Karibu naye"
|
|
|
|
# mnara unaoenea juu
|
|
|
|
"mnara unaoinuka"
|
|
|
|
# nyumba ya juu ya mfalme
|
|
|
|
"nyumba ya juu ya kiongozi wa Israeli"
|
|
|
|
# uwanda wa walinzi
|
|
|
|
Hii ndio mahali ambapo walinzi walikaa
|
|
|
|
# Ofeli
|
|
|
|
Hiii ni jina la mahali.
|
|
|
|
# karibu na lango la maji
|
|
|
|
mbele ya lango la maji
|
|
|
|
# mnara unaojitokeza ... mnara mkubwa unaojitokeza
|
|
|
|
"mnara mrefu ... mnara mrefu." Maneno "mnara unaojitokeza" inamaanisha mnara mrefu ambao unaruka kutoka kwenye ukuta. Inawezekana kwamba maneno haya yote yanataja mnara huo.
|
|
|
|
# Watekoi
|
|
|
|
Hawa ni watu kutoka mji wa Tekoa. Tafsiri hii sawa na ulivyofanya katika 3:3.
|
|
|