forked from WA-Catalog/sw_tn
913 B
913 B
Palali...Uzai.....Pedaya.....Paroshi
Haya ni majina ya watu
Uzai akajenga....Paroshi akajenga... watumwa wakajenga...wakajenga sehemu nyingine
Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "Uzai alijengaa ukuta ... Paroshi alijenga ukuta ... watumishi walijenga ukuta ... walijenga sehemu nyingine ya ukuta"
Baada yake
"Karibu naye"
mnara unaoenea juu
"mnara unaoinuka"
nyumba ya juu ya mfalme
"nyumba ya juu ya kiongozi wa Israeli"
uwanda wa walinzi
Hii ndio mahali ambapo walinzi walikaa
Ofeli
Hiii ni jina la mahali.
karibu na lango la maji
mbele ya lango la maji
mnara unaojitokeza ... mnara mkubwa unaojitokeza
"mnara mrefu ... mnara mrefu." Maneno "mnara unaojitokeza" inamaanisha mnara mrefu ambao unaruka kutoka kwenye ukuta. Inawezekana kwamba maneno haya yote yanataja mnara huo.
Watekoi
Hawa ni watu kutoka mji wa Tekoa. Tafsiri hii sawa na ulivyofanya katika 3:3.