forked from WA-Catalog/sw_tn
316 B
316 B
akachukuliwa juu mbinguni na ameketi
Hii inaweza kuwa kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alimchukua juu mbinguni, na ameketi"
mkono wa kuume wa Mungu
"sehemu ambapo Mungu umpe kuketi kwa heshima na nguvu"
kulithibitisha neno
"kulionyesha kuwa maneno yake, ambayo yalikuwa yakizunguzwa, yalikuwa kweli"