forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
573 B
Markdown
21 lines
573 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Mika anaendelea kuongea kuhusu watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Mikono yao ni mizuri mno
|
|
|
|
"Watu ni wazuri sana"
|
|
|
|
# Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama miche ya miba
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba hata kiongozi mzuri katika Israeli amesababisha maumivu na walikuwa hawafai kitu
|
|
|
|
# Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi, siku ya adhabu
|
|
|
|
Hapa "yako" bado inawarejea watu wa Israeli. "Manabii wao wamewaambia kwamba Yahwe angewaadhibu"
|
|
|
|
# Sasa ni muda wa machafuko yao
|
|
|
|
Hii inaweza kurejea kushinda vita. "Sasa iko hapa, na hawataelewa nini kinaendelea"
|
|
|