forked from WA-Catalog/sw_tn
573 B
573 B
Maelezo ya Jumla:
Mika anaendelea kuongea kuhusu watu wa Israeli.
Mikono yao ni mizuri mno
"Watu ni wazuri sana"
Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama miche ya miba
Hii inamaanisha kwamba hata kiongozi mzuri katika Israeli amesababisha maumivu na walikuwa hawafai kitu
Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi, siku ya adhabu
Hapa "yako" bado inawarejea watu wa Israeli. "Manabii wao wamewaambia kwamba Yahwe angewaadhibu"
Sasa ni muda wa machafuko yao
Hii inaweza kurejea kushinda vita. "Sasa iko hapa, na hawataelewa nini kinaendelea"