forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
656 B
Markdown
29 lines
656 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaanza kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakaporudi wakatiwa mwisho
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake mwenyewe
|
|
|
|
# Mataifa yote yatakusanyika mbele zake.
|
|
|
|
"Atayakusanya mataifa yote mbele zake."
|
|
|
|
# Mbele zake.
|
|
|
|
"Mbele za uso wake."
|
|
|
|
# Mataifa yote.
|
|
|
|
"Watu wote kutoka kila nchi."
|
|
|
|
# kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi
|
|
|
|
Yesuanatumia msemo kuonesha jinsi atakavyowatenganisha watu
|
|
|
|
# atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, bali mbuzi atawaweka mkono wake wa kushoto
|
|
|
|
atawaweka watu wenye haki upande wake wa kuume na atawaweka wenye dhambi upande wake wa kushoto
|
|
|