forked from WA-Catalog/sw_tn
656 B
656 B
Sentensi unganishi
Yesu anaanza kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakaporudi wakatiwa mwisho
Mwana wa Adamu
Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake mwenyewe
Mataifa yote yatakusanyika mbele zake.
"Atayakusanya mataifa yote mbele zake."
Mbele zake.
"Mbele za uso wake."
Mataifa yote.
"Watu wote kutoka kila nchi."
kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi
Yesuanatumia msemo kuonesha jinsi atakavyowatenganisha watu
atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, bali mbuzi atawaweka mkono wake wa kushoto
atawaweka watu wenye haki upande wake wa kuume na atawaweka wenye dhambi upande wake wa kushoto