forked from WA-Catalog/sw_tn
645 B
645 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta
mnyang'anyeni hiyo talanta
Bwana anawaambia wale watumishi wengine
talanta
Tazama 25:14
aliye na
"anayetumia vizuri alicho nacho"
ataongezewa zaidi
"Mungu atampa zaidi"
hata kwa kuzidishiwa
"hata zaidi"
kwa yeyote asiye na kitu
"Kwa yeyeote asiyetumia vizuri hicho alicho nacho.
Ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno
"Mahali ambapo watu watalia na kusaga meno yao."
"nacho atanyang'anywa"
nitakiondoa
mtupeni nje gizani huyo mtumishi asiyefaa, ambako kutakuwa na kilion a kusaga meno
"nje gizani ambako kuna kilio na kusaga meno"