forked from WA-Catalog/sw_tn
349 B
349 B
Kauli inayounganisha
Yesu aliendeleza mafundisho yake kwa kuwaeleza mfano
Kisha Yesu akawaambia
Huenda Yesu alikuwa bado anaongea na mkutano wote.
ilizaa sana
"imezaa mavuno mengi"
ghala
jengo ambalo wakulima huhifadhi mazao na chakula wanachopanda baada ya kuvunwa
vitu
"Mali"
Nitaiambia nafsi yangu
"Nitajiambia mwenyewe"