forked from WA-Catalog/sw_tn
454 B
454 B
Yesu akawaambia, "msalipo mseme, "Baba Jina lako litakaswe
Yesu, mwana wa Mungu, Aliwaamuru wanfunzi kuheshimu Jina la Mungu "Baba", kwa kulitamka jina la Mungu kama "Baba" wakati wa kuomba
Yesu akawaambia
Yesu aliwaambia wanafunzi wake
Baba
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
Jina lako litakaswe
"Watu wote wakuheshimu wewe" au "mfanye kila mmoja aliheshimu Jina lako"
Ufalme wako uje
"Uizimamishe ufalme wako" Tunataka utawale watu wako.