forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
772 B
Markdown
21 lines
772 B
Markdown
# Pepeteo lake liko mkononi mwake
|
|
|
|
Kama mkulima alivyo tayari kutenganisha mbegu za ngano kutoka kwenye pumba hivyo, ndivyo ilivyo kwa Kristo alivyo tayari kumhukumu mwanadamu. AT: "Anashikilia pepeteo kwasababu yuko tayari."
|
|
|
|
# Pepeteo
|
|
|
|
Hiki ni chombo cha kurushia ngano juu hewani kutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba. Mbegu nzito huanguka kurudi chini na pumba azisizotakiwa hupulizwa mbali na upepo. Inafanana na kirushio.
|
|
|
|
# Uwanda wake wa kupepetea
|
|
|
|
Mahali pa kupepetea ni eneo ambapo ngano iliwekwa katika kuiandaa kuipepeta. "Kusafisha" AT: "Eneo lake" au "Eneo ambako hutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba"
|
|
|
|
# Kukusanya ngano
|
|
|
|
Ngano ni nafaka inayokubalika kuitunza na kuhifadhi.
|
|
|
|
# Kuzichoma pumba
|
|
|
|
Pumba hazitumiwi kwa chochote, hivyo, watu huyachoma zote.
|
|
|