forked from WA-Catalog/sw_tn
772 B
772 B
Pepeteo lake liko mkononi mwake
Kama mkulima alivyo tayari kutenganisha mbegu za ngano kutoka kwenye pumba hivyo, ndivyo ilivyo kwa Kristo alivyo tayari kumhukumu mwanadamu. AT: "Anashikilia pepeteo kwasababu yuko tayari."
Pepeteo
Hiki ni chombo cha kurushia ngano juu hewani kutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba. Mbegu nzito huanguka kurudi chini na pumba azisizotakiwa hupulizwa mbali na upepo. Inafanana na kirushio.
Uwanda wake wa kupepetea
Mahali pa kupepetea ni eneo ambapo ngano iliwekwa katika kuiandaa kuipepeta. "Kusafisha" AT: "Eneo lake" au "Eneo ambako hutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba"
Kukusanya ngano
Ngano ni nafaka inayokubalika kuitunza na kuhifadhi.
Kuzichoma pumba
Pumba hazitumiwi kwa chochote, hivyo, watu huyachoma zote.