forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
364 B
Markdown
9 lines
364 B
Markdown
# Akihubiri ubatizo wa toba
|
|
|
|
Neno "Ubatizo" na "Toba" yanaweza kuelezewa kama vitendo. AT: "na alihubiri kwamba watu wale inapaswa kubatizwa kuonyesha kwamba walikuwa wakitubu."
|
|
|
|
# Kwa ajili ya msamaha wa dhambi
|
|
|
|
"Ili kwamba dhambi zao zingeweza kusamehewa" au "ili kwamba Mungu angeweza kusamehe dhambi zao." Toba ilikuwa kwamba Mungu aweze kusamehe dhambi zao.
|
|
|