forked from WA-Catalog/sw_tn
443 B
443 B
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa watu kisichowapasa kukifanya ambacho kingewachafua wao.
Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto
Kile kirai "kuwapitisha kwenye moto" humaanisha kuwachoma kitu kwa moto kwa dhabihu. : "Msiwachome moto wato wenu wangali hai"
msije mkalikufuru jina la Mungu wenu
"KNeno "kukufu" hapa ni kufedhehesha. Neno "jina" humwakilisha Mungu mwenyewe. : "msimfedheheshe MUngu wenu."