forked from WA-Catalog/sw_tn
540 B
540 B
kitu chochote kilichonajisi
Kitu fulani ambacho Yahweh amekitaja kuwa hakifai kugusa au kula kinazungumziwa kana kwamba kilikuwa si safi kimaumbile.
iwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi,
"Mtu" hapa mumaanisha wanadamu kwa ujumla. : "ikiwa wa mtu au wa mnyama
au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza
au wa unajisi fulani wa kitu ambacho humchukiza Yahweh
lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
Tazama maelezo katia sura ya 7:19. Hii pia yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji.